Uhuru wa Kifedha
Kwa Kila Mtanzania

Malipo ya haraka. Bei nafuu. Rekodi kamili. Onepay inaleta teknolojia ya kifedha kwa watu wa chini โ€” bila tabu, bila gharama kubwa.

Salio Lako

TZS 250,000
๐Ÿ“ค
Tuma
๐Ÿ“ฅ
Pokea
๐Ÿ’ฐ
Weka
๐Ÿ“Š
Ripoti

TZS 10

Ada ya malipo ndani ya app

100%

Digital - Hakuna cash hassle

24/7

Malipo ya papo hapo

FREE

Rekodi za biashara kamili

Huduma Zinazokuwezesha

Malipo ya kisasa, bei nafuu, na uwezo wa kudhibiti pesa zako kikamilifu

๐Ÿ’ธ

Malipo ya Bei Nafuu

Tuma pesa kwa wote ndani ya Onepay kwa TZS 10 tu. Hakuna ada kubwa, hakuna matatizo.

โšก

Haraka & Salama

Malipo ya papo hapo yenye usalama wa hali ya juu. PIN yako, pesa zako, udhibiti wako.

๐Ÿ“ฑ

Weka na Toa Pesa

Weka pesa kutoka M-Pesa, Mixx, Airtel, Halopesa. Toa pesa wakati wowote bila usumbufu.

๐Ÿ“Š

Rekodi Otomatiki

Kila muamala unarekodi. Jua unatumia pesa vipi, unapata pesa vipi, kila wakati.

๐Ÿช

Lipa Maduka

Lipa maduka, saloon, boda, daladala, shule, hospitali โ€” kila mahali kwa urahisi.

๐ŸŽ

Ofa & Bonasi

Pata cashback, discounts, na zawadi mara kwa mara unapotumia Onepay.

Jinsi Inavyofanya Kazi

Anza safari yako ya uhuru wa kifedha kwa hatua 3 tu

1

Jisajili

Download app, jaza jina na namba ya simu. Anza mara moja!

2

Weka Pesa

Weka pesa kutoka M-Pesa, Tigo Pesa, Airtel Money, au Halopesa.

3

Tumia!

Tuma, pokea, lipa maduka โ€” yote kwa gharama ndogo sana!

Ufumbuzi kwa Wafanyabiashara

Malipo rahisi + Rekodi za biashara = Mafanikio

๐Ÿ’ผ

Rekodi Otomatiki za Mauzo

Kila malipo yanarekodi moja kwa moja. Jua kiasi cha mauzo ya kila siku, wiki, mwezi.

๐Ÿ“ˆ

Ripoti za Faida

Ona faida halisi ya biashara yako. Jua unaendelea vipi bila kuchanganya pesa za matumizi.

๐Ÿงพ

Risiti & Invoice

Toa risiti kwa wateja wako moja kwa moja. Professional, haraka, na salama.

๐Ÿ‘ฅ

Vuta Wateja Wengi

Wateja wanapenda malipo ya digital. Onepay inakuwezesha kupokea pesa kwa urahisi.

Dashboard Yako

Leo

Jumla ya Mauzo

TZS 1,450,000

Tunajenga Uchumi wa Digital kwa Tanzania

Lengo letu ni kuondoa cash na kuingiza mfumo wa digital economy. Maisha ya bila cash โ€” ambapo kila mtu, kutoka boda kwa duka kubwa, anaweza kulipwa na kulipa kwa urahisi.

Hatuondoi mobile money. Tunaboresa huduma. Tunaweka nguvu mikononi mwa watu wa chini. Tunakuwezesha kuamua na pesa zako.

๐Ÿช Maduka

Duka zote zitakubali Onepay

๐Ÿฅ Huduma

Hospitali, shule, serikali

๐Ÿš• Usafiri

Bodaboda, daladala, teksi

๐Ÿ’ก Bili

LUKU, maji, DSTV, mishahara

Jiunge na Mapinduzi ya Kifedha

Milioni ya Watanzania wanabadilisha jinsi wanavyotumia pesa. Wewe je? Anza leo, bure kabisa.